Blogger Widgets
Home » » FAMILY DAY YA WEMA SEPETU ILIVYOFANA,,OMOTOLA HAJAKOSA

FAMILY DAY YA WEMA SEPETU ILIVYOFANA,,OMOTOLA HAJAKOSA



Wahusika wakuu wa Family Day event Wema na Mgeni wake kutoka Nigeria Omotola wakiingia ukumbini kwenye hotel ya Giraffe Ocean View kwenye hafla ya uzinduzi wa filamu ya Wema pamoja na Fashion show iliyofanyika ukumbini hapo huku ikiwaacha watu hoi baada ya washiriki wa Bibi Bomba kuonekana jukwaani na mavazi yao ambapo kiukweli tamasha lilivutia sana.
 Hapa Wema na mgeni wake wakiteta jambo,

Kinyaiya naye hakubaki nyuma hapa aliungana na wawili hao kuongea na waliofika,
Babuu wa kitaa akiwakaribisha mabibi jukwaani,

 Dogo hapa na bonge la i pad akiwachukua picha wahusika wakuu,

 Baada ya hapo huyoooo akajikata zake, hana habari na mtu hahaa

 Warembo nao wakitokelezea,,

 Hawa nao waliuza kihivi bana,

 kazi ni kwako,

 Choka naye akiuza na Wema pamoja Omotola.

 Tiny Dad, Abou, Ben Kinyaiya & Radhy,,,Picha kwa hisani ya DJchoka.

0 comments:

Post a Comment

.