Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection “Madee” ametoa shukrani zake kwa Mungu kwa kufanikisha ujenzi wa nyumba yake iliyopo Mbezi ya Kimara,jijini Dar -Es-Salaam.
Msanii huyo alisema maneno haya na kupost hii picha na kusema maneno haya
Inshallah namshukuru Mungu Mjengo wangu umeishaaa pic.twitter.com/kpbzmL67X5© Dvj Sweetp Dj | Radio Producer | Sales and Marketing | Social Media Admin For hire +255 753 672 877
— Madee Seneda (@Madeeseneda) September 11, 2013
0 comments:
Post a Comment