Blogger Widgets
Home » » Machafuko | VIKOSI VYA USALAMA VILIVYO DHIBITI HALI YA VURUGU DAR ES SALAAM

Machafuko | VIKOSI VYA USALAMA VILIVYO DHIBITI HALI YA VURUGU DAR ES SALAAM


Barabara ya kuingia katika Ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi zikiwa zimefungwa na Askari Polisi kufuatia vurugu zilizotokea leo

Polisi wakifanya doria kwa kutumia pikipiki


Mitaa ya Kariakoo na viunga vyake ikiwa imeimarishwa na Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika mitaa ya Kariakoo leo

Ulinzi uliimarishwa na Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania katika mitaa ya Kariakoo leo

Wanajeshi wakivinjari katika mitaa ya Kariakoo leo

Askari wa jiji wakishiriki kikamilifu katika zoezi la kuwakamata watu waliokuwa wamekusanyika kwa nia ya kutaka kuandamana katika eneo la Kariakoo



Hili ni moja ya Gari lililobeba wanajeshi ambao walikua doria wakati waandamaji waripoleta vurugu na kusababisha vurugu na mabomu ya machozi kulindima kwenye baadhi ya maeneo kama vile Kariakoo na Posta.

*HABARI NA MATUKIO CATHBERT KAJUNA

© Sweetbert Philemon This Is HABARI™

0 comments:

Post a Comment

.