Hii ni nyimbo mpya toka kwa JCB na MOPLUS ikiwa inapatikana katika kanda
mseto yao ya pamoja itakayotoka mwezi wa tatu na kuitwa "Makalla Wa Ukoo
VOL 1"Wimbo huu wa "NIENDE WAPI" Umefanywa katika Studio za Noizmekah na ni Beat ya Producer Zigilaa na Vocal mix
yake producer Defxtro,Domokaya toka wamandavako ameshirikishwa katika
chorus na pia verse moja